Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 17, 2010


Moja ya neema iliyopo Tanzania ni huu mlima Kilimanjaro. Au unasemaje mdau!

1 comments:

Anonymous said...

Hii ni neema na miongoni mwa rasiliamali za kitalii nchini Tanzania.Huu ni wakati ufaao kwa madhamana wa utalii kuwekeza zaidi katika utangazaji wa rasilimali hizo kwa manufaa ya wadau na jamii kwa ujumla.
"KARIBUNI TANZANIA KWENYE ARDHI YA MLIMA KILIMANJARO,VISIWA VYA ZANZIBAR,MBUGA ZA SERENGETI NA DARAJA LA KIBIASHARA KWA NCHI ZA MAZIWA MAKUU KUPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM."
---------------------------------
R.E.Njau
Mdau wa shughuli za forodha
Dar es salaam,Tanzania.
Email:mcraynjau@gmail.com
----------------------------------