Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, May 16, 2010

jana Jumamosi katika eneo la Chofu hapa Japani kulikuwa na kikao cha kifamilia cha kumuaga Kamarade Ndesika anayerejea nyumbani baada ya kukamilisha kipindi cha Mktaba na Idhaa ya kiswahili Redio Japani. Shughuli ilifanyika kwa mdau nambari moja Mr. Kamu na kuhudhuriwa na baadhi ya wanafamilia hapa Tokyo. unaweza kupitisha macho kuona kilichojiri kwa njia ya picha.
Chofu ...kaskazini kabisa mwa picha hii ...picha kutoka juu....eneo la tukio.

Kaka yetu Elibariki Maleko ,Afisa Mwandamizi katika Ubalozi wa Tanzania hapa Japani alikuwepo kutunasihi!....

Abbya na Proper ...walikuwepo...


Wadau...

1 comments:

Anonymous said...

Asanteni na hongereni sana.
Shikamoo kwa kaka Elibariki Maleko.

R.Njau
Dar TZ