Miaka mitano iliyopita , mwezi kama Huu nilipanda mlima Kilimanjaro nikiambatana na Viongozi waandamizi akiwemo Generali Mirisho Sarakikya wapili Kulia. Mie nimevaa jaketi jekundu. Ilikuwa safari ngumu lakini ya kuikumbuka...Wa kwanza kushoto ni paparazi ni Asiraji Mvungi wa ITV na watatu Kulia ni Paparazi Daniel Mjengwa wa Mwananchi katika msafara . Safari ilikuwa safi.
Kilele cha Mlima Kilimanjaro...
TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment