Wabunge wa Bunge la Ukraine wakitwangana makonde baada ya kutofautiana katika mjadala tete wa uhusiano wa nchi yao na Urusi katika masuala ya bahari. Inashauriwa kuwa kabla hujaamua kugombea ubunge kama uko nchini humo ujiunge na chuo cha masumbwi au karate kwanza. Na-imagine ndio ingezuka kwetu ingelikuaje....
TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO
3 hours ago
0 comments:
Post a Comment