Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, September 03, 2010

Pia nilibahatika kufika katika bandari ya Yokohama....hii ndio bandari kubwa nchini Japani na huwezi kuizungukia yote kwa mara moja. Nilichofanya ni kupitisha macho upande huu , nawe unaweza kuona nilichokiona!


Sehemu ya bandari ya yokohama...


Kaupepo kapo hapo...ndipo nilipoteremka China town ndani ya Yokohama...

Mitaa hiyo ni ya wachina , kuanzia vyakula, aina ya majengo, watu wake na hata pilikapilika za hapo...picha zaidi za eneo hilo nitazitundika muda si mrefu...

0 comments: