Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, September 19, 2010

Nimeona niiweke picha hii japo haikuswihi sana ili muone kinachofanyika humu duniani…huyu mama wa Kiafrika anamnyonyesha nguruwe, baada ya mama wa mnyama huyo kufa. Hii unaionaje. Unahisi ni ridhaa yake , ni mabavu ya Fulani…au huruma kwa huyo mbnyama! Wapi na nani inabaki kwenye faili la mirindimo. Mi naona tofauti kabisa … , weye je!

0 comments: