Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, November 21, 2010

Baada ya pilika pilika za mchana tulikwenda katika Chuo Kikuu cha Fukuyama kusakata Kabumbu , ikanikumbusha enzi zangu nilipokuwa stricker hatari sana na hapo pia nilikutana na mashabiki wenzangu wa 'Wekundu wa Msimbazi' hapo chuoni tukapiga picha ya Ukumbusho... a< href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgl_cIUPahbQTOR9PjnRgqxE723sM5Q7dhLgB7Nzl6q5tdM07GsmSS_WPs7vdAE-jM4d4_12t2j14wsQhxOzGPlDGS4WrthwQIoJ4otgCccDBl8bKOSZVrq9BRhvPknDiFBlOIV4j7RAUc/s1600/DSC01138.JPG">

Mgeni wetu naye akakumbukia enzi yake...yeye ana miliki timu huko Tarime ...timu ya watoto wa kijijini kwake..ilikuwa movuu nzuri...


Penalti....Nilipanchi ukatoka nje ..lakini du, mwili mzito kiwango kimeshuka na umri tena. Imenikumbusha enzi zangu ya UMISETA wanaokumbuka nilikuwa nikitinga nane na golini wakati fulani...


Nilipopiga ngumi mpira na kutoka nje tukawa marafiki....

0 comments: