Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, November 12, 2010

Mbunge mpya wa Jimbo la Kondoa Kusini Mh. Juma Nkamia akikumbatiana na mfanyakazi wa TBC Florence Dyauli , pembeni akiponekana Christine Chokunegela , mtangazaji wa TBC -Taifa katika viwanja vya bunge jijini Dodoma.
Nkamia aliwahi kuwa mfanyakazi wa TBC kabla ya kwenda VOA kabla hajaukwaa ubunge..

0 comments: