Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, December 11, 2010

Fresh Jumbe Mkuu sio tu mwanamuziki lakini 'mhadhiri' kupitia fani yake.... . Nina hamu sana usikilize muziki huu , huku ukisiliza hoja zake..nakukubali Fresh. Kesho Dec, 12 ataporomosha muziki wake katika jiji la Sagamihara hapa Japani mbele ya watanzania wenzake na wageni wengine katika kuadhimisha miaka 49 ya uhuru wa tanzania bara...! Tutajumuika na tutakujuza!

0 comments: