Abuu Semhando , mwanamuziki wa Bendi ya Twanga Pepeta amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo akitoka katika shughuli zake za muziki maeneo ya Africana akielekea Mwananyamala , nyumbani kwake. ni huzuni na majonzi kwetu sote. Kazi ya Mungu..
Marehemu Abu Semuhando (Mwenye fulana nyekundu)akiwa katika mazishi ya Dr. Remmy jana ...
SERIKALI KUENDELEA NA UTEKELEZAJI GRIDI YA TAIFA YA MAJI
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment