Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, January 09, 2011

Somalis say Islamist insurgents al-shabab have banned unrelated men and women from shaking hands, speaking or walking together.

Residents of the southern Somali town of Jowhar said Saturday that the al-Shabab insurgents threatened to whip, imprison or execute anyone found breaking the recent edicts.Resident Hussein Ali says he will no longer greet women he knows for fear of punishment.

Student Hamdi Osman says gunmen are searching buses for improperly dressed women or women traveling alone. She says she was once beaten for wearing Somali traditional dress instead of the long, shapeless black robes favored by the fighters.The insurgents have already banned women from working in public, leaving many families completely destitute.


Sheik Ali Mohamud Rage, a spokesman for the al-Shabab militia. (AP Photo/Mohamed Olad Hassan)

2 comments:

Anonymous said...

Mantic ya kupublish tarifa hii kwako ni nini haswa?

Mimi nilidhani ungeificha hii habari lakini cha ajabu umeitoa kwa minajili ambayo siyo! Wewe kama mwanachama au mfuasi wa dini ya stail hii ulipaswa kuichambua habari hii na kukataa some of the issues ili kuweka sura njema ya dini hii kwa wanajamii!

Nawakilisha

Anonymous said...

Mwalimu nakuelewa na huwa nafurahia sana michango yako sana japo unajitokeza mara chache . Lakini hiyo ni habari siwezi kukata chochote , nimeibandika kama ilivyo na source ni AP. Mwandishi naye ni muumini wa dini hiyo lakini naamini ameandika habari kwa kutumia source somalis siyaoni maoni yake,kwahiyo itakuwa unprofessional unachukua habari ya mtu halafu unaikata kukidhi imani yako..ni kama habari ya rushwa na polisi wa Kenya niliyoiweka hapa.Hata hivyo naelewa changamoto hiyo na niko pamoja nawe mwl.