Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, January 29, 2011

Darasa la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha kilimo , Tokyo hapa Japani...wanasema hapo wanashughulika na 'kaligrafi' , Hii ni kama sanaa ya uchoraji wa maandishi unaofanywa kwa mkono katika makundi na hapa ni maandishi ya kijapani. Maandishi yanakuwa makubwa kama mapambo kuwawesha wanafunzi kukumbuka michongo ya herufi...miongoni mwao ni watanzania wawili.unaweza kuwatambua..C. Kibona(M) na R. Kichawele (F)...safi!

0 comments: