Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, February 13, 2011

Moja ya adhabu zilizokuwa zikikera sana nyati zilee ni pamoja na hii , kushika masikio, kuruka kichura na makonzi...sijui kama siku hizi zinaendelea lakini zilikuwa zikiogopwa sana miaka ile...siju kama zilisaidia!

0 comments: