Mambo si shwari Bahrain. katika Jiji la Manama maandamano yamefanyika kudai mabadiliko ya uongozi. Hatimaye Jeshi la usalama la nchi hiyo likatumia mabavu kuzima harakati hizo, watu kadhaa wamepoteza maisha. Uchungu huu uliwakumba pia madaktari ...baada ya kuwahudia wagonjwa walikumbatiana na kufarijiana. (Hapo ilikuwa baada ya kumuhudumia Bw. Abdul Ridha Mohamed ambaye alijeruhiwa vibaya)
WAKABIDHIWA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA VUNADEILE
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment