Viwanja vilivyopo katika bustani ya Yoyogi karibu na jengo la utangazaji la Shirika la Utangazaji la Japani-NHK World leo vilipokea maelfu ya wageni kutoka mataifa mbalimbali kushuhudia maonyesho ya bidhaa, burudani na vyakula kutoka mataifa mbalimbali. Banda la Mjasiriamali kutoka Tanzania Bi. Maryam nalo lilitikisa .wajapani na watu kutoka mataifa mengine walipiga foleni kuonja 'menyu' ya Kitanzania. Upande wa Afrika kulikuwa na banda jingine la Cameroon huku wengine barani Asia wakiwa kwa wingi sana. Pitisha macho...
MASHABIKI WA SIMBA WAPATA AJALI MMOJA AFARIKI
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment