Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 16, 2011

Mwanamke wa kiislamu raia wa Ufaransa Bi. Kenza Drider, ambaye asili yake ni Kaskazini mwa Afrika akipita nje ya jengo kanisa jijini Paris akiwa amevaa vazi la Burqa lililopigwa marufuku nchini humo. Madai yake na wenzake ni kuwa vazi hilo lina lengo la kujisteri kwanini lipigwe marufuku? Waandishi wa habari na wanausalama walikuwepo katika eneo hilo.

0 comments: