Hawa ni wake wawili wa Kijana wa Kimasai kule nchini Kenya. Nimekutana na Mume wao na mke wa pili huyu Mjapani katika studio zetu za NHK hapa Tokyo , tumeongea mengi sana. Habari na picha zitafuata baadaye...
TUTABORESHA BAJETI YA ELIMU – WAZIRI MKUU
2 hours ago
Dar Es Salaam Time
Tokyo Time
0 comments:
Post a Comment