Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, June 29, 2011

Enzi zileee za Mwalimu kulikuwa na noti iliyokuwa ikijulikaa kama 'mmasai'. Hii ni noti ya shillingi mia. Unaweza kupima rika lako kwa kujiweka katika makundi matatu kwa kujiuliza...1. 'Nimeshawahi kuisikia noti hii?'kama jibu ni hapana...wewe bado , 2. 'Je umeshaiona noti hii?'?... kama jibu ni ndio bass wewe wa umri wa kati... 3. 'Je nimeshawahi kuitumia noti hii wakati ule?'//Kama jibu ni ndio basss ...wewe mtu mzima sasa... au nakosea mkubwa!..

0 comments: