Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, August 22, 2011

Safari ilianza...Nilipewa ruhsa ya kupeperusha bendera ya taifa kwa muda..(Asante kwa kutoniuliza) tukaendelea...Tukafika eneo la Mikese, mkoani Morogoro karibu na eneo la 'mizani'. Tukio la saa nane usiku, canter ina-overtake, uso kwa uso na scania la mizigo lilikuwa likitokea Mbeya. Canter inatoka Dar. madereva wawili hapo hapo, abiria wao watatu wafa, wawili wanusurika. Dereva wa scania alibanwa kwa saa tano (Picha ni hapo) . Hadi saa mbili asubuhi magari yakaanza kuondoka . tukio la huzuni. Inaelezwa kuwa ni uzembe...sijui bwana, mashahidi wamekufa. Itoshe tu kuwa kuna kitu uzembe au ajali. safari ikaendelea...




0 comments: