Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, August 28, 2011

Vikosi vya waasi nchini Libya wameshakamata jiji la Tripoli hivi sasa na wanaendelea kumsaka Kanali Muammari Qadhafi. Kwa sasa wanakabiliana na kikosi cha watunguaji ambacho wapiganaji wake wamesambaa jiji zima. Picha ya pili inaonyesha ndani ya mmoja wa watoto wa Qadhafi , Bi aisha...vikosi vya waasi vilifanikiwa kuyateka makazi hayo.


Wafuasi wa vikosi vya waasi wa Libya wakiulaani utawala wa Qadhafi baada ya swala ya ijumaa 26/08.

0 comments: