Napenda niwataarifu wapenzi na mashabiki wa Mirindimo kuwa nimerejea Tokyo baada ya mapumziko mafupi nyumbani Tanzania.
naomba radhi sana kwa kuwa kimya ...lakini yote yalikuwa na sababu, lakini kubwa nimerejea nikiwa na habari na picha Lukuki za nyumbani. Kuanzia kesho nitaanza kuzipakua...
Kwa ujumla likizo ilikuwa nzuri...na mambo yalienda kama yalivyopangwa. hakikisha kesho unapita hapa uone jipya!
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
1 hour ago
1 comments:
Pole kwa safari na karibu tena kilingeni!
Post a Comment