Kituo cha Sheria na haki za Binaadamu nchini Tanzania LHRC , hivi sasa inaendesha semina kwa waandishi wa habari juu ya masuala ya binaadamu kwa waandishi wa habari mjini Dodoma.Mmoja wa washiriki wa semina hii ni mwandishi wa habari Latifa Ganzel , pichani kushoto, mmoja wa waandishi wanaojituma sana katika kutimiza majukumu yao.
Baada ya semina...majukumu yanaanza ya kusaka habari...katika mazingira yote. paparazi Latifa Ganzel katika bodaboda...take 5 mdau.
Dira Ya Dunia
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment