Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, August 28, 2011

Nikiwa na Raisi wa moja ya makampuni makubwa ya maduka ya vyakula na vifaa vingine nchini Japani (supermarkets) kampuni ya DAISO nilipomtembelea ofisini kwake.. Pamoja na nafasi aliyonao amenionyesha ukarimu sana na kutojikweza na pia anajichanganya na wafanyakazi wake katika kazi za kila siku...Anavaa sare kama wao na kubeba makasha bila shida..imenifurahisha sana hii..'Nawaza nyumbani!'

0 comments: