Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Tuesday, October 18, 2011

Idhaa ya kiswahili ya Redio Japani-NHK imepata mtangazaji mpya Bi. Upendo Kimaro, na alianza kuwa hewani 'Live' kuanzia jana na hii leo J4. Katika siku ya kwanza Mirindimo ilipata picha zake , wakati akisoma habari na baada ya....Take 5 dada U. Unaweza kumsikiliza kwenye mtandao wa NHK-Swahili.


Huuuuuf ....!

1 comments:

Anonymous said...

Hongera sana NHK kwa kupata ladha nyingine kutoka Chaggaland.Kule tunasema nji na siyo nchi.Kaazi kweli kweli.


R.Njau
TZDAR