Kampuni kubwa ya komputa ya MAREKANI ya Apple imeitangaza aina mpya ya simu ya mkononi ya kisasa kabisa ya iPhone iliyo na kasi kubwa.
Iphone hiyo inawawezesha watumiaji kupakua data kwa kasi iliyo mara dufu ikilinganisha na ile ya modeli iliyotangulia. Aina hiyo ya smu ina kifaa kinachoweza kutambua sauti, ambapo watumiaji wataweza kuuliza maswali , na maswali hayo yatajibiwa kwa njia ya maandishi kwenye skrini.
MENEJIMENTI ZA INEC NA ZEC ZAKUTANA ZANZIBAR
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment