Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, October 08, 2011

Leo nilikuwa mitaa ya Kawasaki hapa Japani...nilipata mwaliko maalum wa kutembelea kampuni moja ya magari inayoitwa Phenix. Kilichonivutia kwenda hapo ni kuwepo kwa Mtanzania , huyu ni Mmoja wa Mameneja wasaidizi wa mauzo, Cornel Kibona. Hatua kwa hatua...





Raisi wa Kampuni hiyo anasema kuwa wana matawi zaidi ya 20 ya kuuzia magari nchini Japani, wakiwa na akiba kubwa ya magari. Na sasa wanajiandaa kufungua matawi mengine katika nchi za Zimbabwe, Zambia na Tanzania na wanasema wanachokifanya ni kuweka bei ya chini ya magari yao hasa katika kipindi cha uzinduzi wa biashara...kazi kwako mdau ..lete oda...teh teh tehee!...du!



Marafiki tuliokutana nao Phenix..

Kibona ( Aliyepiga suti)katika majukumu-take 5 bro!:

0 comments: