Usiku huu nimepita mtaa mmoja hapa Tokyo , nikaliona duka lenye picha ya mmasai, huku midundo ya kibongo ikirindima... Nikaingia na humo ndani nikakutana na Wajapani wanaoongea kiswahili fasaha. Wanasema kuwa wanauza nguo na bidhaa za kitamaduni kutoka Afrika Mashariki. Eeh nikaondoka nikiiwaza ile picha inayolitambulisha lile duka...kuwa 'eeh kumbe mmasai dili eeh!'
UNAKOSAJE PESA IJUMAA YA LEO NA MERIDIANBET?
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment