Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, November 26, 2011

Baada ya kazi nzima kukamilika...majaji na wageni waalikwa walipiga picha ya pamoja. Picha ya juu: Tuliovaa maua mekundu..kuanzia kwangu kwenda kulia kwako, BM, Ali Attasi(Jaji Mkuu), Mr. Mwenda Afisa mwandamizi ubalozi (DRC-Kongo), Mh. Salome Sijaona , Balozi wa Tanzania hapa Japani, Bw. Francis Mossongo, Afisa mwandamizi Ubalozi wa Tanzania Japani, Bi. Doroth kutoka Ubalozi wa Kenya na kushoto kwake ni Afisa Ubalozi wa Kongo -DRC hapa Japani. na maafisa wa Ubalozi wa Kenya hapa Japani, Bi. Doroth na Mr. Kaikai. Waliosimama nyuma ni washiriki wa shindani hilo na baadhi ya wahadhiri wao.

0 comments: