Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, March 17, 2012

Jiji la Tokyo lina eneo dogo sana kama ilivyo kwa nchi yenyewe ya Japani ikilinganishwa na eneo kama la Tazania. Lakini kilichofanikiwa kwa kiasi kikubwa ni matumizi mazuri ya eneo lake, miundombinu, na mazingira ya kiteknolojia.
Kilichonifurahisha mie zaidi ni kuwepo kwa misitu kadhaa katikati ya jiji hilo nammoja wapo ni huu uliopo karibu na jengo la Makao Makuu ya shirika la utangazaji la Japani NHK World -NHK World maarufu "Yoyogi Park". Nawaza hili mbona linashindikikana kwenye miji na majiji yetu kule nyumbani Tanzania. Msitu wa Kibaha ingewezekana ...lakini vibaka wameweka makazi kiasi cha wakazi wa eneo hilo wanataka msitu ufyekwe...du...tujifunze kutoka hapa basss..! Nawaza 2 !...





0 comments: