Mh.Sophia Simba , waziri wa nchi Utawala bora amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa UWT baada ya kuwashindaBi.Kahama na Bi. Masunga. Uchaguzi uliojaa vitimbi umemalizika. Pichani Mh. Simba akisalimiana Bi. Condoleeza Rice alipokuja Tanzania.
Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment