Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, May 17, 2009

Jumamosi ya 18/05 jijini Tokyo viwanja vya taifa Yoyogi kulikuwa na maonyesho ya bidhaa na utamaduni wa Wathailand , watu walijaa wakala na kunywa na kazalika...

Ngoma ya kithai ilikonga nyoyo za watu waliokuwepo hapo.
Shuhuda..kwa macho yangu!

Mabanda ya bidhaa na vyakula kila kona...
Mpatempate...
Kijibaridi na kijiupepo kilikuwepo...
Matunda; bei kwa tunda hiyo hapo Y eni nanihii zidisha kwa 15 upate bei ya nyumbani Ukipiga hesabu hiiyo utaishia kukodoa jicho tu .... Kama utani vile!

0 comments: