Michael Jackson.Wakati wa utoto wake akiingia kwenye fani. Mwanamuziki Michael Jackson mwenye miaka 50 amefariki dunia huko Los Angeles nchini Marekani.Picha inaonyesha Michael akiwa katika kifaa maalum kumsaidia kupumua katika jitihada za kuokoa maisha yake. Lakini haikusaidia , maisha yake yalifikia tamati.. Jackson alipandwa na BP ya nguvu ,pumzi zikakata na mfanyakazi wake akaita gari la Ambulance lakini hadi anafikishwa hospitalini alikuwa ameshakufa. hapumui na madaktari wamesema kuwa ameshakufa. Nimekuwekea kazi za Jackson za utoto wake ,ujue alikoanzia.
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
1 hour ago
1 comments:
R.I.P. Michael Jackson
Post a Comment