Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, June 27, 2009

Hebu fuatilia darasa hili kwa kisukuma...kama huna muda maelezo hapo chini yanatosha .Massage ni (kukandwa) ni neno linalotokana na neno la kiarabu massa lenye maana mguso. Wakati wa kufanyiwa massage tishu zifuatazo huwa huhusika moja kwa moja klufanyiwa kazi. Muscles, tendons, ligaments, skin, joints, connective tissue na lymphatic vessels.Maasage huweza kufanyika kwa kutumia mikono, vidole,mikono, miguu na kadhalika.La kujiuliza hapa ni kuwa kuna umuhimu gani wa maasage ?Masaage ni njia muhimu ya kitibabu inayohusisha mwili na hisia.Massage huimarisha mfumo wa kinga ya mwili na huwezesha kupumua vizuri.Husaidia kuimarisha mzunguko wa damu na oxygen kwenda kwenye cell zote za mwili na tishu.Inasaidia kuwezesha mwili kutoa uchafu na kuimarisha misuli, huimarisha misuli ya mwili na huifanya “isigangamale” .Hupunguza mkandamizo wa mawazoyaani na kukufanya upate usingizi.Si kila mafuta yanafaa kwa massage , yanayofaa ni ,Sweet almond oil. Apricot kernel oil. Jojoba oil.Fractionated coconut oil,Sunflower oil. Avocado oil, Cocoa butter, Grapeseed oil. Olive oil na Shea butter nk Si vibaya mara moja kwa mwezi ukamwambia yule “unayemmudu” au mwenza mkafanyiana massage ili muimaarishe afya zenu na kuongeza upendo kati yenu. Usitumie nguvu wala kuibana mishipa na misuli , taratibu tu. Na Mikono laini inafaa zaidi au siyo. Tena siku kama ya leo Jumamosi inafaa kwa massage. wiki endi njemaaa!

0 comments: