Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, June 28, 2009


Naibu Mufti wa Tanzania , na shekhe mkuu wa Mkoa wa Lindi Allhaji Suleiman Gorogosi amefariki dunia. Chanzo cha taarifa kinasema kuwa Shekhe Gorogosi aliondoka Dar kwa ndege hadi Mtwara ambako alichukua gari akielekea Lindi njiani tairi la gari likapasuka na gari ikapinduka. Kifo kikamchukua. Taarifa zaidi baadaye. Inalillah wainah rajhuun!

1 comments:

mumyhery said...

inna lilah wa inna ilaiyhi rajuun