Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, August 26, 2009

Wanenguaji wa Msondo Kutoka kushoto ni Amina Said (Queen ), Saidi Kinacho na Mama nzawisa wakiwa kibaruani katika viwanja vya leader.Mnenguaji wa bendi ya muziki wa dansi ya MSONDO NGOMA Kinacho Said ( mama nzawisa)akichezea kwa umahuiri huku akiwa amemwekea mguu juu ya mabega Mwimbaji na mpiga trampeti wa Bendi hiyo wake Romario Mng”ande
Mugongo mugongo He!

0 comments: