Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Wednesday, August 26, 2009



Mmoja wa vijana wanaounda Bendi ya "Ochestra Udzaugale" akiwa ameshikilia redio ambayo hutumika kama spika wakati walipokuwa wakitumbuiza katika hafla moja huko kwetu Nkoogwe, Ntanga.Bendi ina gita moja na Redio kama spika. Wangekuwa na vyombo hapo wangekuwa mbali.

0 comments: