Namleta huyu jamaa ....ametumia kipaji chake cha kuwasilisha hoja kwa njia ya vichekesho lakini kwa hekima kubwa...nawaza hivi inawezekana kumbe kuwa na vitu kama hivi kwa wasanii bila kutumia nguvu nyingi studio kama lile kundi letu nyumbani.
Jikumbushe na huyu Jamaa...
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment