Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, January 29, 2010


Furaha ya ushindi....
Misri wameitandika Algeria mabao 4-0 na kufuzu kuingia fainali ya kombe la mataifa barani Afrika. Misri watakutana na Ghana ambao, hapo awali, waliitimua Nigeria kwa bao 1-0.Fainali itachezwa Jumapili mjini Angola. Algeria walianguka kwa kishindo kikubwa baada ya wachezaji wake watatu ikiwa ni pamoja na kipa wao Faouzi Chaouchi kuonyeshwa kadi nyekundu kwa utovu wa nidhamu. Wapenzi wa timu ya Algeri walipowasili kwa mbwembwe katika uwanja wa ndege wa Bangwela huko Angola lakini hatimaye walipoa na kuondoka nchini humo kimya kimya.

0 comments: