Nchini DRC kuna jamaa alikuwa ktika bendi mbalimbali za zamani na sasa ameanzisha kasi ya kuzipiga nyimbo za wakati huo./// Kwa wapenzi wa rhumba la taratibu , wale wa Sendema ya moto...enzi ya Dekule Kahanga Maquiz wanaweza kupata hisia ya kile ninachoongea. Sikiliza mpini wa kiutu uzima. Bila shaka wa miaka ya 80s /90s kiwingu. Hya wanaweza kubofya hapo ukajizungusha kidogo!
WAKABIDHIWA ZAWADI MBALIMBALI KUPITIA VUNADEILE
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment