Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, jana Jumamosi kilizindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani huko Dar ambapo viongozi walinadi Ilani ya chama hicho.
Mgombea uraisi wa chama cha CHADEMA Dr. Wilboard Slaa akihutubia umati wa wafuasi wake Dar jana..
Maelfu ya wakazi wa Dar es salaam waliojitokeza kumsikiliza Dr. Slaa.
TUSUBIRI MAAJABU YA MEZA KUPINDULIWA LUPASO
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment