Mgombea wa Uraisi Dr.J.Kikwete akiwa katika mikutano ya kuomba ridhaa kwa waajiri wake wa kulitumikia taifa kwa miaka mingine mitano hapa anawasili kijiji cha Buhingwe , Kigoma vijijini ....
Mama mlemavu Jocyceline Paulo akiteta na Dr. J.K katika kijiji cha Rusahunga..(thenksi bratha Mithupu)
Operesheni ya Israeli inaelekea wapi?
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment