Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, October 16, 2010

Tulikwenda kutembelea mnada wa magari katika mkoa wa Gumna , eneo la Ooyama kwa udhamini mkubwa wa kampuni ya MAEJI ya uuzaji wa magari yenye makao yake hapa Japani ambayo Mkurugenzi wake mkuu ni Mkenya Jeff Musyoka. Fuatilia picha hizi na baadaye ukitaka kuijua kampuni hiyo bofya; www.maeji-kaiho.com


Tumeshuka Mushashi-Urawa kuanza safari ya kwenda Mkoani Gumna kwenye huo mnada wa magari, kipande cha safari , takriban saa moja na nusu kwa gari inayotimua mwendo.

Magari ya watu wanaokuja mnadani hupaki hapa...


Tuanzie hapa kwenye pikipiki...


Mwenyeji wetu Jeff Musyoka akituongoza tuangalia vifaa ...





Imetulia au!


0 comments: