Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, October 16, 2010

Huwa kuna vyumba maalum ambavyo wanunuaji wa magari wanaotambuliwa na Makampuni ya uuzaji magari huingia ambako kuna komputa maalum zenye taarifa zote juu ya kila kitu kilicho kwenye mnada ...wao wanauwezo wa kujua bei na kufuatilia...Ugeni tena nilishindwa kupiga picha ndani nikatoka nje...


Baadhi ya wanachama wa minada hii na waalikwa hukaa jengo la nje kufuatilia aina za magari na bei na hutoa taarifa kwa njia ya mtandao kuwa wako tayari kuchukua kifaa hicho...Mabango hayo ndio huttoa picha na bei..

0 comments: