Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Friday, March 25, 2011

Unaweza kufikiria ukali wa mawimbi ya tsunami ulivyokuwa...meli imepandishwa juu ya ghorofa ya pili ya makazi ya mji huu ...inatisha.
Jitihada za kuwatafuta watu bado zinaendelea ...zaidi ya watu elfu 30 wanahofiwa kufa ingawa idadi hiyo inaweza kuwa kubwa zaidi. (Mpiga mbizi akijaribu kutafuta miili ya watu chini ya bahari katika fukwe za bandari ya Ayukama, Ishinomaki)

0 comments: