Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Saturday, April 30, 2011

Bila shaka hayo ndio yaliyo miyoni mwao. Kushoto (Specioza Mallya) Mtanzania aliyekuwa akifanya kazi katika Shirika la Utangazaji la Japani -NHK ambaye amemaliza muda wake wa kukaa Japani na anarejea nyumbani akiwa na Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili , Bi. Yuko Asano muda mfupi baada ya hafla ya kumuaga rasmi.

0 comments: