Siku chache zilizopita , Raisi wa Rwanda Paul Kagame kushoto akiwa na mshauri wake Bi. Rose kabuye jijini Nairobi kwenye ishu ya DRC . Bi Kabuye alikamatwa nchini Ujerumani November 9, 2008 na ameshasafirisha Ufaransa kujibu tuhuma za kuhusika na mauaji ya Raisi wa zamani wa Rwanda Juvenal Habyarimana kwa kumtungua kwenye ndege . Baada ya hapo yakafuatia mauaji ya halaiki. Nchi imerindima....
CDF MKUNDA AELEZA UMUHIMU WA JKT KATIKA ULINZI WA TAIFA
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment