Ni hapa...
Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Samaki kama huyo mmoja shillingi mia tano kwa masharti kuwa masharubu yawe yanacheza ...yaani freshi...upo!
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Treni ya Mwanza -Dar ikijiandaa kuondoka jijini Mwanza leo ..
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Theluji inapofanya jiji kuzizima kwa baridi..hii ni usiku huu(J4..sasa 4 usiku kwa hapa Tokyo ) sawa na saa 10 jioni kwa saa za A.Mashariki.
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Theluji imedondoka leo katika sehemu kubwa ya jiji la Tokyo. Kamarade Ndesika akijiweka sawa kabla hajaigia mtaani.
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Hebu angalia kwa makini hiyo ngoma ...umegundua ya kabila gani nchini Tanzania...
Posted by
BM.
on
Tuesday, March 03, 2009
Umegundua kutoka kabila gani..!
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Hiyo fasheni ya unyooaji inamuonyesha nani?.... .
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009

Mama Maria Nyerere na Jk Ikulu hivi karibuni.
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Kulikuwa na gulio eneo la Shibuya...vitu kwa bei poa kwenye nguo tatizo saizi...wajapani wana miili midogo sasa kama umetanuka kimbembe!
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Baba Baraka.
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Eneo hilo ndipo ilipokuwa ile bar marufu jijini Mwanza ya Fourways sasa kuna PPF Plaza ...imetulia.
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Piga jicho kushoto hapo..
Posted by
BM.
on
Sunday, March 01, 2009
Moja ya Bustani jijini Mwanza..siku ya harusi lazima upite hapo ujipendezeshe...safi..