Obama yuko Hawaii ambako amekwenda kumuuguza bibi yake Madelyn Dunham mwenye umri wa miaka 85 anayeonekana pichani. Bibi huyo alimlea Barack baada ya wazazi wake kufariki. Inaripotiwa kuwa aliteleza na kuvunjika kiuno.
RAIS WA BURUNDI AMFARI RAIS SAMIA
15 hours ago

0 comments:
Post a Comment