Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Sunday, October 05, 2008

Raisi Robert Mugabe na Waziri Mkuu Morgan Tsivangirai bado "hawajafahamiana" juu yanani awe wapi katika baraza la mawaziri hadi jana , wameamua kila mtu aendelee na wazifa wake , siku mbili zijazo wazungumze tena. Wanatuambia mazungumzo yalikuwa "Makini na yenye mwelekeo mwema"??

0 comments: