Ni hapa...

Umefika mahali unapopahitaji ...karibu!

Posted by BM. on Monday, October 13, 2008

Kesho huko Tanzania ni siku ya mapumziko kumkumbuka hayati Mwalimu Nyerere. Nami wacha nikukumbushe. Mwalimu katika ujana wake. Kutoka Kushoto. Raisi wa Kwanza wa Zambia Kenneth Kaunda, Mwalimu, Hayati Jomo Kenyatta , Raisi wa kwanza wa Kenya, Hayati Milton Obotte , Raisi wa kwanza wa Uganda.

0 comments: